Karibu sana Samaria Spiritual Center!


Jisikie upo nyumbani na tunafurahi kuona umetutembelea!

Tufahamu zaidi


Yesu yupo kwa ajili yetu sote na sisi ni sehemu tu ya familia yake kubwa. Je ungependa kuwa mmoja wa familia yetu? basi usisite Kujiunga nasi

Washirika
Huduma
Wachungaji
Viongozi

Ibada

Tafadhali usikose ibada zetu za jumapili kuanzia saa 1.30 asubuhi hadi saa 3.00 asubuhi kwa ibada ya kwanza na kuanzia saa 4.00 asubuhi hadi saa 6.30 mchana kwa ibada ya pili.

live events

Ibada ya moja kwa moja

Ni kitendo tu cha kubonyeza ili kujiunga nasi kwa matangazo ya ibada ya moja kwa moja kama upo mbali na kanisa.

Jiunge nasi hewani

Bible study

Mafundisho ya Biblia

Tungependa kushirikiana na wewe katika kujifunza biblia kila siku ya jumatano kuanzia saa 10.00 jioni hadi saa 12.00 jioni.

Prayer

Kukuombea

Mara zote tunahitaji maombi katika maisha yetu ya kila siku, ni faraja kwetu kuwa mmoja wa wasaidizi wa jambo lako kupitia maombi, jiunge nasi katika ibada ya maombi na maombezi kila siku ya ijumaa kuanzia saa 10.00 jioni mpaka saa 12.00 jioni

Tuma hitaji la kuombewa

Masomo yetu

Kama ulikosa masomo na mahubiri ya jumapili iliyopita na ibada ya jumatano, usisite kuangalia yaliyojiri katika ibada hizo.

Nguvu ya Wazo, Imani, na Ujasiri katika kufanikiwa kwa mwamini

Mch. Deus Sabuni

Utakumbukwa kwa lipi?

Mch. Deus Sabuni

Mambo ya kuzingatia unapotaka kuchagua mwenzi

Mch. Hannington Kabuta

Matukio yetu

Haya ni baadhi ya matukio yaliyo mbele yetu.

Machi 03, 2024

Sikukuu ya Wanawake (WWK)

Juni 02, 2024

Sikukuu ya watoto